
Spika wa Bunge Anne Makinda
amesema sio kazi yake kuwasimamisha wenyeviti wa Kamati za Bunge ambao
wanatuhumiwa na ishu ya fedha za Escrow badala yake ni wao wenyewe
kujiondoa kama njia ya kutii maazimio yaliyopitishwa na Bunge ambayo
yanawataka kuwajibika.
“Azimio
linasema viongozi wa Kamati hizi watawajibika kwenye Kamati zao,
tusibadilishe maneno. Naona na gazeti lingine linasema
hawajajiuzulu, what is that? Suala la azimio kwamba viongozi hawa watatu
wa Kamati wajiuzulu”—Anne Makinda
0 comments:
Post a Comment