*Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania* >>>>>>> *Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania*

  • Thursday, 22 January 2015

    Spika Makinda kuhusu ESCROW


    anna21
    Spika wa Bunge Anne Makinda amesema sio kazi yake kuwasimamisha wenyeviti wa Kamati za Bunge ambao wanatuhumiwa na ishu ya fedha za Escrow badala yake ni wao wenyewe kujiondoa kama njia ya kutii maazimio yaliyopitishwa na Bunge ambayo yanawataka kuwajibika.
    Azimio linasema viongozi wa Kamati hizi watawajibika kwenye Kamati zao, tusibadilishe maneno. Naona na gazeti lingine linasema hawajajiuzulu, what is that? Suala la azimio kwamba viongozi hawa watatu wa Kamati wajiuzulu”—Anne Makinda

    0 comments:

    Post a Comment