*Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania* >>>>>>> *Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania*

  • Thursday, 22 January 2015

    Jeshi la Polisi na ishu ya kuvamiwa kituo Pwani

    Askari wawili wa kituo cha Ikwiriri, Mkoa wa Pwani wameuawa na majambazi ambao idadi yao haijafahamika na kupora bunduki tano, risasi 60 na mabomu mawili ya machozi jana.
    Walikuwa ni majambazi wengi, walivamia na kuanza kuwashambulia askari wetu, walifanikiwa kuwaua askari wetu wawili na kuchukua silaha… Jeshi la Polisi nchini linalaani tukio hilo ni baya”– Advera Bulimba, msemaji wa Jeshi la Polisi.
    .
    Advera Bulimba, msemaji wa Jeshi la Polisi.

    0 comments:

    Post a Comment