Askari wawili wa kituo cha Ikwiriri,
Mkoa wa Pwani wameuawa na majambazi ambao idadi yao haijafahamika na
kupora bunduki tano, risasi 60 na mabomu mawili ya machozi jana.
“Walikuwa
ni majambazi wengi, walivamia na kuanza kuwashambulia askari wetu,
walifanikiwa kuwaua askari wetu wawili na kuchukua silaha… Jeshi la
Polisi nchini linalaani tukio hilo ni baya”– Advera Bulimba, msemaji wa Jeshi la Polisi.
![]() |
Advera Bulimba, msemaji wa Jeshi la Polisi. |
0 comments:
Post a Comment