Posted by EAST AFRICA TELEVISION
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki na dansa wake Super Nyamwela wamerudi kujiunga rasmi na Bendi ya Twanga Pepeta leo na kutambulishwa kwa wanahabari katika mkutano uliofanyika leo Kinondoni jijini Dar.
Kumbuka hii si mara ya kwanza kwa Ali Choki kurudi na kutoka katika bendi hii ya Twanga Pepeta, Je, unahisi safari hii atadumu kweli?
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki na dansa wake Super Nyamwela wamerudi kujiunga rasmi na Bendi ya Twanga Pepeta leo na kutambulishwa kwa wanahabari katika mkutano uliofanyika leo Kinondoni jijini Dar.
Kumbuka hii si mara ya kwanza kwa Ali Choki kurudi na kutoka katika bendi hii ya Twanga Pepeta, Je, unahisi safari hii atadumu kweli?
0 comments:
Post a Comment