
Jana kulitokea mvutano Bungeni baada ya Mbunge John Mnyika kuomba mwongozo kuhusu changamoto zilizojitokeza kwenye mfumo wa usajili wa BVR.
Taarifa iliyotufikia ni kwamba Mwenyekiti wa ya tume ya uchaguzi Tanzania, NEC Jaji Damian Lubuva
ametangaza kuahirishwa kwa mchakato wa kupiga kura ya maoni ya katiba
iliyopendekezwa hadi hapo tarehe mpya itakapotangazwa tena.
Wadau mbalimbali wa siasa wamekua
wakitoa maoni yao kuhusu kura ya maoni iliyopangwa kufanyika April 30
huku wengi wakidai ni vigumu zoezi hilo kufanyika kwa wakati kutokana na
sababu mbalimbali.
0 comments:
Post a Comment