*Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania* >>>>>>> *Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania*

  • Wednesday, 8 April 2015

    Christiano Ronaldo Aweka Rekodi nyingine.....

    Cristiano Ronaldo
    Mchezaji bora wa dunia na nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo usiku huu ana nafasi ya kuweka rekodi nyingine katika msururu wa rekodi nyingi ambazo ameziweka akiwa anaichezea klabu hii ya Hispania .
    Ronaldo ambaye siku tatu zilizopita aliwahukumu Granada kwa kuwafunga mabao 5 katika ushindi wa  9-1 atafikisha idadi ya mabao 300 katika michezo ya ushindani endapo atafunga bao moja kwenye mchezo ambao Real Madrid inacheza dhidi ya Rayo Vallecano .
    Ronaldo hadi sasa amefunga jumla ya mabao 47 katika michezo 41 ya michuano mbalimbali na anamzidi mpinzani wake Lionel Messi kwa mabao matatu kwenye ligi ya Hispania .

    0 comments:

    Post a Comment