*Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania* >>>>>>> *Pata habari zote za hapa mjini Dodoma (Capital City) na nyinginezo kutoka MIJI mbalimbali hapa Tanzania na nje ya Tanzania*

  • Monday, 19 January 2015

    Taarifa ya huzuni kutoka Nigeria, kuna msiba wa Staa wa Filamu Nollywood

    Naija
    Kutoka Nollywood, story hazikuwa kwa siku ya leo, wengi huenda hawakuamini kutokana na uvumi uliokuwa ukienea mitandaoni kwamba muigizaji Muna Obiekwe amefariki, lakini huo ulikuwa uvumi ambao ulikanushwa, hii ilitokana na muigizaji huyo kuumwa kwa muda mrefu ambapo alikuwa akisumbuliwa na tatizo la figo.
    Staa huyo wa filamu za Nigeria  amefariki jana mchana akiwa hospitali jijini Lagos kutokana na ugonjwa huo wa figo.
    Ugonjwa wake ulifahamika na wasanii wenzake pamoja na ndugu zake, kuna wakati aliwahi aliwaambia marafiki zake kwamba amepanga kuandaa show ya maigizo ya jukwaani ili kupata fedha za matibabu.

    0 comments:

    Post a Comment